Skip to main content

MIAKA 30+ HUPOTEZA NGUVU ZA KIUME KWA UGONJWA WA KISUKARI

 

Wanaume wengi hupoteza nguvu za kiume si kwa sababu ya uzee pekee, bali kwa sababu ya magonjwa ya mwili. Ukweli ni kwamba, zaidi ya viungo 50 vya mwili vinashirikiana ili kuhakikisha uume unasimama vizuri. Hivyo, ikitokea kiungo kimoja kimeharibika, mfumo mzima wa usimamishaji wa uume huathirika.

Kisukari na Nguvu za Kiume

Ugonjwa wa kisukari ndio sababu kubwa ya kupungua au kupotea kabisa kwa nguvu za kiume. Tafiti zinaonesha kuwa kati ya asilimia 35–75 ya wagonjwa wa kisukari, hupitia changamoto hii. Wanaume wenye kisukari huanza kupata tatizo hili miaka 10–15 mapema zaidi ikilinganishwa na wasio na kisukari.

  • Umri wa miaka 50–70: Asilimia 50 ya wanaume wenye kisukari hupata upungufu wa nguvu za kiume.
  • Zaidi ya miaka 70: Takribani 95% hupatwa na tatizo hili.

Kisukari huathiri mishipa ya damu na mishipa ya fahamu, huzuia utengenezaji wa kemikali zinazohitajika kwa kusimama kwa uume, na hivyo husababisha kupungua au kupotea kabisa kwa nguvu za kiume.

Dalili za Kisukari Unazopaswa Kuzitilia Umakini

Kama unakabiliana na kupungua kwa nguvu za kiume, dalili zifuatazo za kisukari ni onyo:

  • Kukojoa mara kwa mara (hata mara 5 ndani ya masaa machache).
  • Kiu isiyoisha na ngozi kukauka.
  • Mwili kuchoka, kupoteza nguvu na kushikwa na kizunguzungu mara kwa mara.
  • Njaa ya mara kwa mara hata baada ya kula.
  • Kupungua au kupoteza uwezo wa kuona vizuri.
  • Michubuko na vidonda kuchelewa kupona.
  • Kupungua au kupoteza uzito (kwa kisukari cha aina ya kwanza) au kupata uvimbe na maumivu kwenye miguu/mikono (kisukari cha aina ya pili).

Hii ina maana kwamba, kupungua kwa nguvu za kiume kunaweza kuwa dalili ya awali ya kisukari. Kabla hujaanza kutumia dawa zozote, ni busara kwanza kupima kisukari na kujua chanzo.

Suluhisho Rahisi na la Haraka

Kama tayari unakabiliana na tatizo la nguvu za kiume, basi Victoria Green Herbal ipo kwa ajili yako. Tunatoa dawa za asili, salama na zenye matokeo ya haraka. Ndani ya siku tano tu, utashuhudia mabadiliko makubwa ya kurudi kwa nguvu zako za kiume.

👉 Usiruhusu tatizo hili likunyime heshima yako na furaha ya ndoa.

Fika ofisini kwetu Nkolani, Mwanza au wasiliana nasi:
📞 Simu/WhatsApp: +255747558143

Kwa wateja waliopo mbali, tunatuma dawa mkoa wowote ule Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

AINA ZA ASALI, FAIDA NA MATUMIZI YAKE

FAHAMU KUHUSU ASALI Tambua ya kuwa asali ya nyuki wadogo ndio asali yenye virutubisho maradufu kuliko ya nyuki wakubwa, ni asali ambayo inatibu magonjwa zaidi ya mia moja kutokana na virutubisho vyake mwilini. 1. Ukitumia asali mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye kinywaji hiki maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol). 2. Ukilamba asali, utajipatia kiasi cha kutosha cha protini na vitamin B1, B2, B3, B5, A1, na C, virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa afya ya mwili wako kwa ujumla. 3. Ulaji wa asali huimarisha na kuboresha mfumo wa usagaji chakula tumboni, hivyo utaondokana na matatizo ya ukosefu wa choo, au matatizo ya kupata choo kigumu kinachosababisha maumivu wakati wa kujisaidia. Pia ndani ya asali kuna virutubisho vya ¡®amino acids¡¯ ambavyo ni muhimu mwilini. 4. Ukilamba asali, mwili utapata nguvu na kukuondolea uchovu ndani ya nusu sa...

Imarisha Afya yako kwa kufanya mapenzi (faida za kufanya mapenzi na mwezi wako)

Kuna faida nyingi za kufanya mapenzi ambazo zinaweza kuathiri afya ya mwili na akili ya mtu. Hapa chini ni baadhi ya faida hizo: Kuboresha afya ya mwili   Kufanya mapenzi kunaweza kuboresha afya ya mwili kwa sababu inaongeza kiwango cha homoni ya endorphin ambayo husaidia kupunguza maumivu na kuboresha mhemko. Pia, kufanya mapenzi kunaweza kuongeza mfumo wa kinga na kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo. Kuongeza uhusiano wa kimapenzi   Kufanya mapenzi kunaweza kusaidia kuimarisha uhusiano wa kimapenzi na kuweka mwamko wa kihisia kati ya wenzi. Pia, kufanya mapenzi kunaweza kusaidia kuongeza nguvu ya kihisia kati ya wapenzi. Kuboresha usingizi   Kufanya mapenzi kabla ya kulala kunaweza kuwa na athari nzuri kwenye usingizi wako. Baada ya kufikia kilele cha burudani, mwili wako unapata hisia za utulivu ambayo yanaweza kusaidia kupunguza mkazo na kusaidia kulala vizuri. Kupunguza msongo wa mawazo   Kufanya mapenzi kunaweza kupunguza msongo wa mawazo na kusaidia kupunguza...