Skip to main content

JINSI YA KUPATA/KUWA TAJIRI BILA KUTUMIA NGUVU/KUBAHATISHA

Katika makala yangu ya leo nimekuwekea mambo muhimu ya kufuata ili uweze kufanikiwa
Kila binadamu anatamani kupata mafanikio katika mambo anayofanya, kutokana na utafiti nilioufanya haya ndo mambo kuu ya msingi ambayo yanaweza kukusaidia kufikia malengo au mafanikio yako


  1. Tafuta utajiri
Tunaposema utajiri, hatuongele pesa wala heshima. 
Utajiri ni kuweza kuwa na vyanzo mbalimbali vinavyoweza kukuingizia kipato bila ya wewe kuwepo.
Pesa ni matokeo ya muda na utajiri, vilevile heshima ni nafasi yako katika jamii.
Kwahiyo ni vyema kuwekeza katika vitu ambavyo vitakutengenezea pesa wakati wewe umelala.

Mfano: Kununua hisa katika kampuni, kutengeneza blog, kutengeneza video za YOUTUBE, Kujenge fremu za kupangisha, NK.....


2. Achana na watu/marafiki na kelele za mitandaoni

Marafiki wengi ndio wanaongoza kwa kukatishana tamaa na kurudisha maendeleo nyuma.
watakukatisha tamaa kuwa jambo flani haliwezekani au usifanye hivi ama vile.
Simamia katika kitu unachokiamini, achana na kelele za mitandaoni wekeza muda wako katika maisha yako, hii itakusaidia kufika mbali.

3. Huwezi kuwa tajiri kwa kuazima/kuuza muda wako

Ni lazima umiliki/ufanye biashara, lazima uwekeze katika vyanzo vingine vya mapato ili uweze kupata uhuru wa kifedha

3. Utajiri upo katika jamii inayokuzunguka

Utapata utajiri kwa kutoa huduma au kwa kutatua matatizo yaliyopo katika jamii inayokuzunguka na kuipatia jamii inachokitaka na sio unachokitaka wewe.
(Tafuta kitabu kinaitwa mgodi by Amosi Nyanda)

4. Chagua niche/ujuzi uijue kwa undani sana

Chagua ujuzi au taaluma ukomae nayo mwanzo mwisho uweze kuielewa vizuri. Hiyo taaluma itakusaidia kufika mbali. 
Mfano: kama ni biashara hakikisha umeielewa na kuifanyai tafiti vizuri

Interned ndio sehemu ambayo unaweza kujifunza mambo yote na kufanyia majaribio mitandaoni.

5. Penda kitu unachokifanya

Wengi hupenda kusema wanafanya kazi wanayoipenda lakini ukweli ni kwamba unatakiwa upende kazi unayoifanya. Hii itakusaidia kuweza kujifunza zaidi na kujiongeza katika hicho unachokifanya na kuongeza umakini zaidi.

6. Chagua washirika wenye kiu ya mafanikio

Hii ni hatua muhimu sana, Usikubali kufanya kazi na watu wavivu wenye kukatisha tamaa. Shirikiana  na watu wenye nguvu na kiu ya mafanikio katika kila wanayoyafanya. 
Vilevile kuwa karibu sana na watu waliofanikiwa, hii itakusaidia kuelewa zaidi njia walizopitia na utajifunza mengi kutoka kwao.

7. Jifunze kuuza/Kujenga

Hata kama hauuzi bidhaa au hufanyi biashara jifunze kuuzaa na kuandika nakara, Hii itakusaidia baadae katika mafanikio yako.
Hapa nakushauri ujifunze copywriting skills

8. Kuwa na ujuzi wa kujilinda

Ujuzi pekee ni ule ambao haujafundishwa darasani, unajifunza mtaani.
Mfano: kuna kozi mbalimbali za kusoma mitandaoni. Ni muhimu kuwa na ujuzi ambao utakusaidia kuingiza kipato.

9. Fanya biashara yako mwenyewe

Fanya biashara mabilimbali, hakikisha una uwezo wa kuzisimamia ili uwezo kujifunza changamoto zake na kuzielewa.
Watu matajiri wote walianza na biashara ndogo sana lakini kutokana na imani yao wameweza kuzikuza mpaka kuwa bishara kubwa sana duniani.

10. Usitamani sana kuajiriwa

Ajira itawafurahisha tu wazazi wako lakini haitakufikisha popote. Jitahidi sana kupata elimu, pata ujuzi na huo ujuzi utumie kuingiza kipato.
Kuna aina mbalimbali za ujuzi ambazo hauhitaji kuwa na pesa.

11. Anza chini na ulichonacho

Kama una smartphone anza na hiyo, simu ya mkononi inatosha kukuingizia laki tano mpaka milioni kwa mwezi, ukiwa na computer ni bora zaidi maana kuna namna nyingi za kuingiza pesa mitandaoni bila kutumia pesa nyingi.

Hakuna ujuzi unaoitwa Biashara, kwahiyo jitahidi sana uepuke na semina za biashara.
Fanya maamuzi sasa tuwasiliane whatsapp (+255757915043)






Comments

Popular posts from this blog

AINA ZA ASALI, FAIDA NA MATUMIZI YAKE

FAHAMU KUHUSU ASALI Tambua ya kuwa asali ya nyuki wadogo ndio asali yenye virutubisho maradufu kuliko ya nyuki wakubwa, ni asali ambayo inatibu magonjwa zaidi ya mia moja kutokana na virutubisho vyake mwilini. 1. Ukitumia asali mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye kinywaji hiki maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol). 2. Ukilamba asali, utajipatia kiasi cha kutosha cha protini na vitamin B1, B2, B3, B5, A1, na C, virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa afya ya mwili wako kwa ujumla. 3. Ulaji wa asali huimarisha na kuboresha mfumo wa usagaji chakula tumboni, hivyo utaondokana na matatizo ya ukosefu wa choo, au matatizo ya kupata choo kigumu kinachosababisha maumivu wakati wa kujisaidia. Pia ndani ya asali kuna virutubisho vya ¡®amino acids¡¯ ambavyo ni muhimu mwilini. 4. Ukilamba asali, mwili utapata nguvu na kukuondolea uchovu ndani ya nusu sa...

Miaka kumi kwenye ndoa bila mtoto lakini amezaa mapacha baada ya kutumia hii dawa (TATIZO LA KUTOKUPATA UJAUZITO KWA WANAWAKE)

WANAWAKE KUTOKUSHIKA MIMBA Tatizo la kutokupata ujauzito limekuwa kubwa sana katika jamii yetu. Wote tunafahamu sababu mbalimbali zanazosababisha matatizo ya uzazi hasa kwa wanawake kuanzia miaka 25 na kuendelea. Huwa nasikitika sana ninapoona ndoa nyingi zinavunjika kwasababu ya kukosa watoto. Baada ya kuona hivyo niliweza kuandaa dawa ambayo imewasaidia watu wengi sana, akiwemo mama aliyekaa kwenye ndoa miaka kumi lani baada ya kutumia hii dawa ikamsaida akapata watoto mapacha ndani ya mwezi mmoja. PATA UJAUZITO KWA DOZI MARA MOJA TU Nimekuandalia dawa ya kukusaidia wewe unayehangahika muda mrefu kupata mtoto (MIMBA) almaarufu kama (MKOMBOZI) UJAUZITO KWA DOZI MARA MOJA Hii dawa ya kutumia mara moja itakusaida kuondoa matatizo yote ya uzazi yanayokusumbua kwa muda mfupi. Hii ni dawa asili ya mitishamba iliyoandaliwa kwa utaalamu na kufata kanuni za tiba asili. Ukipata hii dawa, Tutakupa ushauri namna ya kuitumia vilevile tutakupa muongozo mpaka pale utakapofanikiwa kutatua tatizo l...

ZIFAHAMU MBINU ZA UTUNZAJI WA KUKU WA KIENYEJI. PART ONE

UTANGULIZI Kuna maandiko mengi mitandaoni juu ya ufugaji kuku wa kienyeji. Kutokana na hayo maandishi kutojitosheleza, Nimeandaa mbinu ambazo kwa mikono yangu mwenyewe na kwa msaada wa vitabu mbalimbali nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji. Nimeandika hiki kitabu kuwalenga wajasiliamali ambao hawana nguvu kifedha kujenga mabanda ya kisasa, mashine za kutotolesha vifaranga, kutibu magonjwa wala kujenga wigo (fence) na gharama nyinginezo. Naomba mzijue mbinu hizi, huu ni mchango wangu kwenu watanzania wenzangu (wajasiliamali) wale ambao mtakuwa hamjawahi kuzisikia mbinu hizi. Mbinu hizi baadhi nilisoma vitabu nikazijaribu na kuziboresha kwa mazingira yangu duni ya kitanzania. Mbinu zingine niliziona kwa wakulima duni kama mimi na katika maandiko (blogs) za watu mbalimbali nikazitumia na kuleta mafanikio makubwa sana, mbinu zingine nilizigundua mwenyewe katika ubunifu wangu nikafanikiwa sana. Hizi mbinu hazijafanyiwa utafiti rasmi wa kisayansi lakini nimeweza kufani...