Skip to main content

ZIFAHAMU MBINU ZA UTUNZAJI WA KUKU WA KIENYEJI. PART ONE

UTANGULIZI

Kuna maandiko mengi mitandaoni juu ya ufugaji kuku wa kienyeji. Kutokana na hayo maandishi kutojitosheleza, Nimeandaa mbinu ambazo kwa mikono yangu mwenyewe na kwa msaada wa vitabu mbalimbali nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji.
Nimeandika hiki kitabu kuwalenga wajasiliamali ambao hawana nguvu kifedha kujenga mabanda ya kisasa, mashine za kutotolesha vifaranga, kutibu magonjwa wala kujenga wigo (fence) na gharama nyinginezo.
Naomba mzijue mbinu hizi, huu ni mchango wangu kwenu watanzania wenzangu (wajasiliamali) wale ambao mtakuwa hamjawahi kuzisikia mbinu hizi. Mbinu hizi baadhi nilisoma vitabu nikazijaribu na kuziboresha kwa mazingira yangu duni ya kitanzania. Mbinu zingine niliziona kwa wakulima duni kama mimi na katika maandiko (blogs) za watu mbalimbali nikazitumia na kuleta mafanikio makubwa sana, mbinu zingine nilizigundua mwenyewe katika ubunifu wangu nikafanikiwa sana.
Hizi mbinu hazijafanyiwa utafiti rasmi wa kisayansi lakini nimeweza kufanikiwa na watu mbalimbali waliozitumia wameweza kuwa na kuwa na kundi kubwa la kuku kwa haraka sana kupitia ubunifu huu wa kiasili.

Ewe mjasiliamali nakualika usome makala hii mara kwa mara kila upatapo fursa ili uweze kuelewa simulizi zangu zote uweze kuongeza uzoefu katika utunzaji wa kuku.

Katika makala hii nimegusia zaidi: Utotoreshaji vifaranga vingi kwa mara moja bila kutumia mashine, Ukuzaji wa vifaranga vingi kwa njia rahisi na kwa haraka zaidi, ulinzi wa kuku dhidi ya wanyama maadui, kudhibiti kuku wasizurule, magonjwa niliyofanikiwa kuyadhibiti, ujenzi wa vibanda wenye kukidhi mahitaji mbali mbali. Huu ni utaalamu nilioupata kwa gharama kubwa na mahangaiko ya muda mrefu, nauleta kwenu vijana wa kitazania ili sote tuendelee kukua pamoja kiujasiliamali.

Bonyeza hapa kupata makala ya kitabu changu namba ya whatsapp




Image result for kuku wa kienyeji  Image result for kuku wa kienyeji

https://www.google.com/search?q=kuku+wa+kienyeji&source=lnms&tbm=isch&sa=X&ved=0ahUKEwi_u9fznorNAhWBFxQKHUXSAcMQ_AUICCgC&biw=1366&bih=652



Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

AINA ZA ASALI, FAIDA NA MATUMIZI YAKE

FAHAMU KUHUSU ASALI Tambua ya kuwa asali ya nyuki wadogo ndio asali yenye virutubisho maradufu kuliko ya nyuki wakubwa, ni asali ambayo inatibu magonjwa zaidi ya mia moja kutokana na virutubisho vyake mwilini. 1. Ukitumia asali mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye kinywaji hiki maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol). 2. Ukilamba asali, utajipatia kiasi cha kutosha cha protini na vitamin B1, B2, B3, B5, A1, na C, virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa afya ya mwili wako kwa ujumla. 3. Ulaji wa asali huimarisha na kuboresha mfumo wa usagaji chakula tumboni, hivyo utaondokana na matatizo ya ukosefu wa choo, au matatizo ya kupata choo kigumu kinachosababisha maumivu wakati wa kujisaidia. Pia ndani ya asali kuna virutubisho vya ¡®amino acids¡¯ ambavyo ni muhimu mwilini. 4. Ukilamba asali, mwili utapata nguvu na kukuondolea uchovu ndani ya nusu sa...

Miaka kumi kwenye ndoa bila mtoto lakini amezaa mapacha baada ya kutumia hii dawa (TATIZO LA KUTOKUPATA UJAUZITO KWA WANAWAKE)

WANAWAKE KUTOKUSHIKA MIMBA Tatizo la kutokupata ujauzito limekuwa kubwa sana katika jamii yetu. Wote tunafahamu sababu mbalimbali zanazosababisha matatizo ya uzazi hasa kwa wanawake kuanzia miaka 25 na kuendelea. Huwa nasikitika sana ninapoona ndoa nyingi zinavunjika kwasababu ya kukosa watoto. Baada ya kuona hivyo niliweza kuandaa dawa ambayo imewasaidia watu wengi sana, akiwemo mama aliyekaa kwenye ndoa miaka kumi lani baada ya kutumia hii dawa ikamsaida akapata watoto mapacha ndani ya mwezi mmoja. PATA UJAUZITO KWA DOZI MARA MOJA TU Nimekuandalia dawa ya kukusaidia wewe unayehangahika muda mrefu kupata mtoto (MIMBA) almaarufu kama (MKOMBOZI) UJAUZITO KWA DOZI MARA MOJA Hii dawa ya kutumia mara moja itakusaida kuondoa matatizo yote ya uzazi yanayokusumbua kwa muda mfupi. Hii ni dawa asili ya mitishamba iliyoandaliwa kwa utaalamu na kufata kanuni za tiba asili. Ukipata hii dawa, Tutakupa ushauri namna ya kuitumia vilevile tutakupa muongozo mpaka pale utakapofanikiwa kutatua tatizo l...