Skip to main content

Dawa, chanjo na tiba asili ya kuku

Comments

Popular posts from this blog

AINA ZA ASALI, FAIDA NA MATUMIZI YAKE

FAHAMU KUHUSU ASALI Tambua ya kuwa asali ya nyuki wadogo ndio asali yenye virutubisho maradufu kuliko ya nyuki wakubwa, ni asali ambayo inatibu magonjwa zaidi ya mia moja kutokana na virutubisho vyake mwilini. 1. Ukitumia asali mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye kinywaji hiki maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol). 2. Ukilamba asali, utajipatia kiasi cha kutosha cha protini na vitamin B1, B2, B3, B5, A1, na C, virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa afya ya mwili wako kwa ujumla. 3. Ulaji wa asali huimarisha na kuboresha mfumo wa usagaji chakula tumboni, hivyo utaondokana na matatizo ya ukosefu wa choo, au matatizo ya kupata choo kigumu kinachosababisha maumivu wakati wa kujisaidia. Pia ndani ya asali kuna virutubisho vya ¡®amino acids¡¯ ambavyo ni muhimu mwilini. 4. Ukilamba asali, mwili utapata nguvu na kukuondolea uchovu ndani ya nusu sa...

Imarisha Afya yako kwa kufanya mapenzi (faida za kufanya mapenzi na mwezi wako)

Kuna faida nyingi za kufanya mapenzi ambazo zinaweza kuathiri afya ya mwili na akili ya mtu. Hapa chini ni baadhi ya faida hizo: Kuboresha afya ya mwili   Kufanya mapenzi kunaweza kuboresha afya ya mwili kwa sababu inaongeza kiwango cha homoni ya endorphin ambayo husaidia kupunguza maumivu na kuboresha mhemko. Pia, kufanya mapenzi kunaweza kuongeza mfumo wa kinga na kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo. Kuongeza uhusiano wa kimapenzi   Kufanya mapenzi kunaweza kusaidia kuimarisha uhusiano wa kimapenzi na kuweka mwamko wa kihisia kati ya wenzi. Pia, kufanya mapenzi kunaweza kusaidia kuongeza nguvu ya kihisia kati ya wapenzi. Kuboresha usingizi   Kufanya mapenzi kabla ya kulala kunaweza kuwa na athari nzuri kwenye usingizi wako. Baada ya kufikia kilele cha burudani, mwili wako unapata hisia za utulivu ambayo yanaweza kusaidia kupunguza mkazo na kusaidia kulala vizuri. Kupunguza msongo wa mawazo   Kufanya mapenzi kunaweza kupunguza msongo wa mawazo na kusaidia kupunguza...

Miaka kumi kwenye ndoa bila mtoto lakini amezaa mapacha baada ya kutumia hii dawa (TATIZO LA KUTOKUPATA UJAUZITO KWA WANAWAKE)

WANAWAKE KUTOKUSHIKA MIMBA Tatizo la kutokupata ujauzito limekuwa kubwa sana katika jamii yetu. Wote tunafahamu sababu mbalimbali zanazosababisha matatizo ya uzazi hasa kwa wanawake kuanzia miaka 25 na kuendelea. Huwa nasikitika sana ninapoona ndoa nyingi zinavunjika kwasababu ya kukosa watoto. Baada ya kuona hivyo niliweza kuandaa dawa ambayo imewasaidia watu wengi sana, akiwemo mama aliyekaa kwenye ndoa miaka kumi lani baada ya kutumia hii dawa ikamsaida akapata watoto mapacha ndani ya mwezi mmoja. PATA UJAUZITO KWA DOZI MARA MOJA TU Nimekuandalia dawa ya kukusaidia wewe unayehangahika muda mrefu kupata mtoto (MIMBA) almaarufu kama (MKOMBOZI) UJAUZITO KWA DOZI MARA MOJA Hii dawa ya kutumia mara moja itakusaida kuondoa matatizo yote ya uzazi yanayokusumbua kwa muda mfupi. Hii ni dawa asili ya mitishamba iliyoandaliwa kwa utaalamu na kufata kanuni za tiba asili. Ukipata hii dawa, Tutakupa ushauri namna ya kuitumia vilevile tutakupa muongozo mpaka pale utakapofanikiwa kutatua tatizo l...