Skip to main content

Posts

Imarisha Afya yako kwa kufanya mapenzi (faida za kufanya mapenzi na mwezi wako)

Recent posts

Tambua sababu zinazosababisha ukose nguvu za kiume

1. Stress: zinasababisha kwa kupunguza uwezo wa mwili kufanya kazi kutoa hormone ya testosterone inayoleta hisia na kuongeza nguvu ya kusimamisha.  Ndo maana unashauriwa utafute kitu au sehemu ambayo haitakupa stress ndo unaweza kufanya kwa ufasaha 2. Upungufu wa hormone za kuleta hisia:  unakuta mtu hana kabisa hisia ya tendo la ndoa au anafanya tu kumridhisha mwenzake, wakati mwingine hawezi kusimamisha, hii ni kwasababu homoni zake hazitoshi kufanya kazi. Kwahiyo unatakiwa ufanye utaratibu wa kuweka homoni zako sawa 3. Misosi/ vyakula: mfano wa hivyo vyakula ni kula chips kwa sana, kutumia sana ngano, kula vyakula vya mafuta kama nyama za mdudu, Ndo maana unakuta vijana wa maisha ya kawaida wana nguvu sana za kiume kulinganisha na vijana waliofanikiwa kutoboa. Kwahiyo hata ukitoboa maisha hakikisha unakula vyakula vinavyofaa kwa afya ya mifupa na misuli 4. Kutokufanya mazoezi: Hili ni tatizo kubwa sana tena sana, mwili usio na mazoezi unachoka haraka sana kuweza kumfikisha ...

Matatizo ya nguvu za kiume yaliyofichika miaka 2000 iliyopita. Siri iliyogunduliwa na wanasayansi wa Misri

Kila siku mfalme wa China Kang Xi Alitakiwa kulala na wanawake 9 kutoka katika Harem yake. Alitakiwa kumridhisha kila mmoja.. Hizi ni njia alizotumia …. Matatizo ya nguvu za kiume yaliyofichika miaka 2000 iliyopita. Siri iliyogunduliwa na wanasayansi wa Misri   Ugunduzi huu unaonesha 1.    Dawa na njia walizotumia kuongeza hamu ya tendo la ndoa 2.    Kusimamisha kwa muda mrefu sana ( wanawake 9 usiku mmoja) 3.    Uume mrefu na kukimbiza goli nyingi bila kuchoka 4.    Walitumia sana Wafalme kuashiria nguvu katika ufalme wao Ilikuwa September 1990 Wanasayansi waligundua dawa iliyotumika ambayo inaweza kupenyeza hormone zako na kubadirisha mfumo wako wa nguvu za kiume kwa kukuongezea nguvu na uimara, vilevile kukufanya upande mlima kwa muda mrefu sana   Dawa hiyo ilithibitishwa na wanasayansi mbalimbali na kufanyiwa utafiti na Vyuo na hospitali mbalimbali dunia nzima Ingawa hii dawa imetumika misri miaka 2000 iliypita,...

Miaka kumi kwenye ndoa bila mtoto lakini amezaa mapacha baada ya kutumia hii dawa (TATIZO LA KUTOKUPATA UJAUZITO KWA WANAWAKE)

WANAWAKE KUTOKUSHIKA MIMBA Tatizo la kutokupata ujauzito limekuwa kubwa sana katika jamii yetu. Wote tunafahamu sababu mbalimbali zanazosababisha matatizo ya uzazi hasa kwa wanawake kuanzia miaka 25 na kuendelea. Huwa nasikitika sana ninapoona ndoa nyingi zinavunjika kwasababu ya kukosa watoto. Baada ya kuona hivyo niliweza kuandaa dawa ambayo imewasaidia watu wengi sana, akiwemo mama aliyekaa kwenye ndoa miaka kumi lani baada ya kutumia hii dawa ikamsaida akapata watoto mapacha ndani ya mwezi mmoja. PATA UJAUZITO KWA DOZI MARA MOJA TU Nimekuandalia dawa ya kukusaidia wewe unayehangahika muda mrefu kupata mtoto (MIMBA) almaarufu kama (MKOMBOZI) UJAUZITO KWA DOZI MARA MOJA Hii dawa ya kutumia mara moja itakusaida kuondoa matatizo yote ya uzazi yanayokusumbua kwa muda mfupi. Hii ni dawa asili ya mitishamba iliyoandaliwa kwa utaalamu na kufata kanuni za tiba asili. Ukipata hii dawa, Tutakupa ushauri namna ya kuitumia vilevile tutakupa muongozo mpaka pale utakapofanikiwa kutatua tatizo l...

JINSI YA KUPATA/KUWA TAJIRI BILA KUTUMIA NGUVU/KUBAHATISHA

Katika makala yangu ya leo nimekuwekea mambo muhimu ya kufuata ili uweze kufanikiwa Kila binadamu anatamani kupata mafanikio katika mambo anayofanya, kutokana na utafiti nilioufanya haya ndo mambo kuu ya msingi ambayo yanaweza kukusaidia kufikia malengo au mafanikio yako Tafuta utajiri Tunaposema utajiri, hatuongele pesa wala heshima.  Utajiri ni kuweza kuwa na vyanzo mbalimbali vinavyoweza kukuingizia kipato bila ya wewe kuwepo. Pesa ni matokeo ya muda na utajiri, vilevile heshima ni nafasi yako katika jamii. Kwahiyo ni vyema kuwekeza katika vitu ambavyo vitakutengenezea pesa wakati wewe umelala. Mfano: Kununua hisa katika kampuni, kutengeneza blog, kutengeneza video za YOUTUBE, Kujenge fremu za kupangisha, NK..... 2. Achana na watu/marafiki na kelele za mitandaoni Marafiki wengi ndio wanaongoza kwa kukatishana tamaa na kurudisha maendeleo nyuma. watakukatisha tamaa kuwa jambo flani haliwezekani au usifanye hivi ama vile. Simamia katika kitu unachokiamini, achana na kelele za mita...

AINA ZA ASALI, FAIDA NA MATUMIZI YAKE

FAHAMU KUHUSU ASALI Tambua ya kuwa asali ya nyuki wadogo ndio asali yenye virutubisho maradufu kuliko ya nyuki wakubwa, ni asali ambayo inatibu magonjwa zaidi ya mia moja kutokana na virutubisho vyake mwilini. 1. Ukitumia asali mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye kinywaji hiki maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol). 2. Ukilamba asali, utajipatia kiasi cha kutosha cha protini na vitamin B1, B2, B3, B5, A1, na C, virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa afya ya mwili wako kwa ujumla. 3. Ulaji wa asali huimarisha na kuboresha mfumo wa usagaji chakula tumboni, hivyo utaondokana na matatizo ya ukosefu wa choo, au matatizo ya kupata choo kigumu kinachosababisha maumivu wakati wa kujisaidia. Pia ndani ya asali kuna virutubisho vya ¡®amino acids¡¯ ambavyo ni muhimu mwilini. 4. Ukilamba asali, mwili utapata nguvu na kukuondolea uchovu ndani ya nusu sa...

ZIFAHAMU MBINU ZA UTUNZAJI WA KUKU WA KIENYEJI. PART ONE

UTANGULIZI Kuna maandiko mengi mitandaoni juu ya ufugaji kuku wa kienyeji. Kutokana na hayo maandishi kutojitosheleza, Nimeandaa mbinu ambazo kwa mikono yangu mwenyewe na kwa msaada wa vitabu mbalimbali nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji. Nimeandika hiki kitabu kuwalenga wajasiliamali ambao hawana nguvu kifedha kujenga mabanda ya kisasa, mashine za kutotolesha vifaranga, kutibu magonjwa wala kujenga wigo (fence) na gharama nyinginezo. Naomba mzijue mbinu hizi, huu ni mchango wangu kwenu watanzania wenzangu (wajasiliamali) wale ambao mtakuwa hamjawahi kuzisikia mbinu hizi. Mbinu hizi baadhi nilisoma vitabu nikazijaribu na kuziboresha kwa mazingira yangu duni ya kitanzania. Mbinu zingine niliziona kwa wakulima duni kama mimi na katika maandiko (blogs) za watu mbalimbali nikazitumia na kuleta mafanikio makubwa sana, mbinu zingine nilizigundua mwenyewe katika ubunifu wangu nikafanikiwa sana. Hizi mbinu hazijafanyiwa utafiti rasmi wa kisayansi lakini nimeweza kufani...

Dawa, chanjo na tiba asili ya kuku